MHE. RAIS SAMIA NA MHE. RAIS EMBALÓ WAKIZUNGUMZA NA VYOMBO VYA HABARI IKULU, DAR ES SALAAM
Описание
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan Akimpokea Rais wa Jamhuri ya Guniea-Bissau Mhe. Umaro Sissoco Embaló leo tarehe 22 Juni, 2024 Ikulu Dar es Salaama, ambae yuko nchini kwa ziara ya kikazi .